MEN’S TWO PIECE OUTFIT Bei: 140,000/-
Kama unataka kuonekana Boss, Kiongozi au Mwanaume wa Kiwango — hii ndiyo outfit sahihi kwako!Muonekano wa kisasa, nadhifu na wenye heshima
Inakuja kama Full Set (Shirt + Trouser) High Quality Fabric – haichuji wala kufifia Inakaa vizuri mwilini (Perfect Fit) Available colors: Black & Army Green
Bei rafiki kwa ubora wa daraja la juu Tunapokea oda na tunatuma mikoa yote Tanzania
Location: Kariakoo – Mtaa wa Congo & Agrey
WhatsApp / Simu:+
Stock inaisha haraka!Usisubiri uone kwa mwingine — weka oda sasa uwe mbele ya wengine!