ELIMU YA USAFI: KWA NINI DEEP CLEANING NI MUHIMU?
Wengi tunafagia na kupangusa, lakini je unajua nyumba yako bado inabaki chafu?
Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, vumbi la nyumbani lina 70% ya ngozi iliyokufa, nywele na wadudu wadogo waitwao dust mites. Hawa ndio chanzo cha allergy, kikohozi na mafua ya mara kwa mara hasa kwa watoto.
Sehemu hatari zaidi ni bafu na jiko. Humo ndimo kuna bakteria hatari kama na Salmonella ambao hawaondoki kwa maji na sabuni tu. Wanahitaji dawa maalum ya kuua vimelea (disinfectant).
Usafi wa kawaida huondoa uchafu unaoonekana. Deep Cleaning huondoa uchafu usioonekana.
Hapa ndipo KIMZY ENTERPRISES TZ inakuja kama suluhisho lako.
Sisi hatufagi tu. Tunaua bakteria 99%, tunaondoa vumbi lililojificha na tunarejesha harufu nzuri nyumbani kwako kwa kutumia vifaa vya kisasa.
Okoa muda wako