Healthy Glow lotion
Kwa wanaopenda ngozi zenye afya
Nyeusi ni lotion ya kojic acid na alpha arbutin ... njano niacinamide na vitamin C
Kazi yake kubwa ni kujaza ngozi... hata mishipa ya kijani inakua haionekani
Kwa wale mliotumia cream kali au wenye ngozi nyepesi kiasili hii sio ya kukosa
Ni milk lotion kwahyo inakua na unyevu wa kutosha... hizi milk huwa nzuri kwa wenye ngozi kavu na watu walioanza kuzeeka
Ina ipa ngozi unyevu bila kunataka kama mafuta ya mgando
Inaondoa michiriz aina zote... iwe ya cream, ya asili sjui unene n.k ... matokeo ya awali unayaona mapema ila kupona kabisa inachukua mda kidgo
Kuna baadhi ya watu inawang’arisha sana bila serum... kuna wengine mpka watie serum ila ni bora uipake kwanza bila serum ukiona vipi ndo unachukua na serum
Ina spf 30 kwa ajili ya kukinga na jua