W-King T8 II Original Ipo Sokoni, Mziki Mnene Na Bass Ya Hatari!
1/4
Dar es Salaam, Ilala, masaa 2 yaliyopita
1 maoni
W-King T8 II Original Ipo Sokoni, Mziki Mnene Na Bass Ya Hatari!
+1
Spika
Aina
Chapa Mpya
Hali
W-King
Chapa
Aux, Bluetooth, USB, Wireless
Muunganisho wa mzungumzaji
Uwasilishaji
Nchini kote
1 mchana
Bila malipo
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
Ilala, Dar es Salaam
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 06:00-23:00
Kwanini hii ndio spika yako ya sasa?
Bass kubwa: Nguvu kubwa ya 96W Peak / 40W RMS ikiwa na ma-woofer mawili na tweeters mbili.
Sauti inatoka safi bila kukwaruza!Masaa 12+ ya Burudani: Inakuja na betri ya nguvu ya 7650mAh. Unapiga mziki siku nzima hadi usahau chaja nyumbani.
Ujanja wa Kuchaji Simu: Njia ya Type-C Fast Charging na inafanya kazi kama Power Bank pia. Simu yako ikizima unachomeka hapo hapo juu ya spika.
Inastahimili Maji (IPX7): Hata kukiwa na mnyunyizo wa mvua au splashes za maji, mziki hauachi kudunda.Kila Njia Inakubali:
Unganisha kwa Bluetooth 5.4, weka Flash, Memory Card (TF), au chomeka waya wa AUX kwenda kwenye TV yako.