Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
30000
Ada ya Agenti
KIWANJA KINAUZWA
Mahali: King'azi (karibu na Mloganzila)
SIFA KUU ZA KIWANJA:
Ukubwa: SQM 1,677 (eneo kubwa – linafaa kwa miradi mbalimbali)
Hati Halali (Title Deed) ipo tayari
Kimepimwa kikamilifu
Kuna nyumba isiyokamilika:
Inaezekwa tayari
Ina grill
Master bedroom 1
Vyumba 2
Sebule
Jiko
Public toilet
MAZINGIRA:
✔ Mandhari nzuri ya bonde kuelekea Mloganzila
✔ Eneo lina maendeleo – majirani wapo
✔ Tulivu, salama na lina upepo mzuri
LINAFAA KWA:
Kujenga nyumba ya kisasa ya familia
UPATIKANAJI:
Km 11 kutoka Mbezi Mwisho
Njia: Mwalemi Plaza na Kifuru Plaza → (kuelekea Kinyerezi)
Barabara ya Pugu Mnadani.
Km 25 kutoka Posta (City Centre)
BEI:
(Inajadilikia kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati)