tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Matumizi Mchanganyiko Inauzwa
Dar es Salaam, Ilala, Ilala Ward / Ilala, masaa 4 yaliyopita
13 maoni

" Eneo La 22,800 M2 Linauzwa Mvuti Kidole, Ilala Dsm."

+1
Ardhi ya matumizi mchanganyiko
Aina
22800sqm
Mita za mraba
Mchanganyiko
Matumizi ya Sifa
Usambazaji wa Stima, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Mvuti Kidole, Ilala, kando ya Barabara Kuu ya Pugu–Mbande. Eneo hili linajumuisha viwanja 12 vyenye hati miliki tofauti, zikiwemo za Biashara, hati maalumu ya Kituo cha Mafuta (Petrol Station), Biashara na makazi, likikupa uhuru mkubwa wa kuendeleza miradi mbalimbali ya uwekezaji. Uso wa mbele wa eneo la barabara ni takribani mita 100. Hati ya Kituo cha Mafuta: 2,625 m2 Hati ya Biashara: 4,782 m2 Hati nyingine za Biashara ya Makazi. Eneo tambarare FAIDA ZA KIMKAKATI ZA ENEO • kilomita 15 kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere • Kilomita 28 kutoka Bandari ya Dar es Salaam Eneo lote (22,800 m2 ) linauzwa kwa TZS Bilioni 1.5 • Pia viwanja vya matumizi mbalimbali vinauzwa kati ya TZS 45,000 hadi TZS 110,000 kwa m2, kulingana na aina ya hati, ukubwa wa kiwanja na ukaribu wake na Barabara Kuu ya Pugu–Mbande.
" Eneo La 22,800 M2 Linauzwa Mvuti Kidole, Ilala Dsm."" Eneo La 22,800 M2 Linauzwa Mvuti Kidole, Ilala Dsm."
TSh 1,500,000,000Outright Price
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif