Mvuti Kidole, Ilala, kando ya Barabara Kuu ya Pugu–Mbande.
Eneo hili linajumuisha viwanja 12 vyenye hati miliki tofauti, zikiwemo za Biashara, hati maalumu ya Kituo cha Mafuta (Petrol Station), Biashara na makazi, likikupa uhuru mkubwa wa kuendeleza miradi mbalimbali ya uwekezaji.
Uso wa mbele wa eneo la barabara ni takribani mita 100.
Hati ya Kituo cha Mafuta: 2,625 m2
Hati ya Biashara: 4,782 m2
Hati nyingine za Biashara ya Makazi.
Eneo tambarare
FAIDA ZA KIMKAKATI ZA ENEO
• kilomita 15 kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
• Kilomita 28 kutoka Bandari ya Dar es Salaam
Eneo lote (22,800 m2 ) linauzwa kwa TZS Bilioni 1.5
• Pia viwanja vya matumizi mbalimbali vinauzwa kati ya TZS 45,000 hadi TZS 110,000 kwa m2, kulingana na aina ya hati, ukubwa wa kiwanja na ukaribu wake na Barabara Kuu ya Pugu–Mbande.