Eneo lenye ukubwa wa sqmita 19600 sawa na heka nne linalotazama barabara kubwa ya kiwango cha lami kwa sasa ina changarawe, linauzwa billion 1.5 lipo Ukonga Mkolemba, eneo hili linafaa kwa biashara na makazi, kwani linagusa barabara. Huduma zote za kijamii zipo karibu na eneo hili./Dada/Msingida.