Eneo la uwekezaji lenye ukubwa wa takribani 22,800 m2 (sawa na ekari 5.63), lililopo katika eneo zuri la Mvuti Kidole, Ilala, kando ya Barabara Kuu ya Pugu–Mbande.
Eneo hili linajumuisha viwanja 12 vyenye hati miliki tofauti, zikiwemo hati za Biashara, hati maalumu ya Kituo cha Mafuta (Petrol Station), Biashara na makazi, likikupa uhuru mkubwa wa kuendeleza miradi mbalimbali ya uwekezaji.
Uso wa mbele wa eneo ni takribani mita 100, mkabala na kituo cha mafuta kinachofanya kazi. Barabara Kuu ya Pugu–Mbande.
Hati ya Kituo cha Mafuta: 2,625 m2
Hati ya Biashara: 4,782 m2
Hati nyingine za Biashara ya Makazi na makazi.
Eneo tambarare linalofaa kwa maendeleo ya haraka ya miradi mbalimbali
Lipo katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi zaidi ndani ya Jiji la Dar es Salaam