Nyumba ya ghorofa linauzwa Bilion 1.2 ipo Kinondoni Mbweni, ina vyumba vinne vya kulala na vyote ni self, Ukubwa ni sqmita 1000, ipo ndani ya fensi, ipo mtaa wa kishua, ni beach area, huduma zote muhimu zipo karibu na jengo hili la kifahari, ndugu wateja, wote mnakaribishwa/Makukuru.