Nyumba ya vyumba vinne vyote ni self, sebule, dining jiko yenye eneo sqmita 300 inauzwa milioni 66,500,000/ maongezi yapo, ipo Ukonga Mongolandege mtaa mzuri na tulivu, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii, kutoka barabara ya lami ni mita 50 tu. Gari inafika hadi mlangoni/ Romeni John.