Nyumba hiyo inauzwa milioni 130 ipo Ukonga Majohe Rada jirani na Barabara kuu ya kiwango Cha lami, ni nyumba ya ramani yenye hadhi ya kuitwa nyumba nzuri, eneo lake ni sqmita 3000, huduma zote za kijamii zipo karibu, ndugu wateja karibuni kwa uwekezaji zaidi.