Nyumba inauzwa (private sale) gongo la mboto majohe viwege kwa mustapha
area: sqm 300
price : mil 18
umiliki : mkataba wa mauziano
sifa zake-:
-vyumba vitatu vya kulala
-chumba kimoja ni master
-jiko na store
-sebule na dinning
-choo cha public
garama za kupelekwa site ni sh elfu 30, hii haihusishi usafiri
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: