Nyumba ina vyumba 4 vya kulala kati hivyo 2 ni master bedroom, sebule, dinning, jiko la kisasa, na public toilet ndani. Ina garden nzuri nnje, parking space kubwa yenye paving blocks, ipo ndani ya fence. Nyumba hii ina hati miliki (TITLE DEED) kutoka wizara ya aridhi. Karibu sana maongezi kidogo yapo