Nyumba inauzwa kwa njia ya mnada na ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji (Dawasa) vyote vipo. Ipo ndani ya fence... Unaweza ukapitia njia nne ya goba au kimara mwisho zote unafika mpaka kwenye nyumba.