Nyumba ina vyumba 3 vya kulala vyote ni master, sebule, dining, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji dawasa vyote vipo, ipo umbali wa 2km kutoka barabara kuu ya lami na pikipiki ni Tsh1,000 mpaka getini. Nyumba hii ina hati ya mauziano ya serekali ya mtaa. Karibu sana maongezi kidogo yapo