Nyumba nzuri sana ya kisasa inauzwa na mahakama, mke na mume wametengana (wanagawana mali). iko madale mivumoni kontena. iko umbali wa mita 400 toka main road
area: sqm 500
price : mil 180
umiliki : hati
sifa zake-:
-vyumba vitatu vya kulala
-chumba kimoja ni master
-jiko na stoo
-sebule na dinning
-choo cha public
-ndani ya fence
-servant quarter ya chumba kimoja na jiko
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: (abdldllmdl)