Nyumba stand alone inapangishwa madale mivumoni, iko umbali wa kilomita 1 toka main road
kodi: tsh 900,00 kwa mwezi, ilipwe kuanzia miezi 6
sifa zake-:
-vyumba vitatui vya kulala
-vyumba viwili ni master
-jiko
-sebule
- dinning
-choo cha public
-a/c sebuleni, dinning na vyumbani
- jiko la nje na choo cha nje
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta excela joshua
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: