Eneo zuri la ekari 2 linauzwa kiromo bagamoyo
___________
Location kilomo msikitini bagamoyo
___________
Linaukubwa wa ekari mbili
___________
Eneo lina mazao kama miembe,michungwa,minazi,mikorosho,mipera na ndimu
___________
Documents zipo za manunuzi na zinafaamika na serikari ya mtaa
___________
Umbali kutoka main load ni kilometa 2
___________
Eneo ni zuri sana linafaa kwa ufugaji na makazi