Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Usambazaji wa Gesi, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
*Shamba la Ekari 1450 linauzwa Dumila*
*Distance* Kutoka Dodoma- Road to Kilosa ni KM 10 from Lami mpaka Shambani 4KM
-Shamba Linamwa mpunga Ekari 300, Ekari 300 plus zimepandwa Mkonge, Ekari 100 Mahindi... Lililobaki halijaguswa.
-Chanzo cha maji Bwawa la msimu.*(Linategemea Mvua ya Kutosha kujaa)* au *Kuchimbwe KISIMA*
-Document: Hati ipo (Title Deed)