Dulaiki staff shoes (dodoma)
sole za nje imara: peke ya mpira nene, hailiwi haraka na ina ushikaji mzuri (firm grip) kuzuia kuteleza kwenye tiles na mbao.
ngozi halisi: ngozi laini isiyokunjana wala kupasuka kwa urahisi.
muundo wa slip-on: havina kamba, ni rahisi kuvaa na kuvua kwa haraka.
starehe ya ndani: solli ina sponji laini inayopunguza uchovu wa miguu.
rangi: nyeusi (black) na udongo/golid (brown).
size: 41, 42, 43, 44, na 45.
bei: tzs 65,000/= tu
usafiri: bure dodoma mjini; mikoani tunatuma kwa uaminifu.
oda / whatsapp