*Eneo la Shule/Taasisi linauzwa mjini Dodoma, Zuzu Mtaa wa Pinda*
*Location* Eneo lipo Barabarani SGR na karibu na Ring road
-Eneo lina majengo ya Madarasa 4, nyumba ya vyumba v3 vya kulala matundu ya vyoo 12, Ofisi 4, Stoo, Jiko n.k
-Eneo lilifanyakazi kuanzia 2023 hadi 2024 kwa sasa usajili wake umesitishwa kutokana na dhamira ya kupauza.
*Matumizi* Unaweza kuweka Primary, Secondary, Chuo n.k
-Eneo ni kubwa sana na linatosha kwa miradi yote hiyo hata ukitaka kuiweka kwa pamoja.
-Eneo lilikuwa limefunguliwa Nursery and Primary school
-Plot size Sqmtrs 33,260
-Document: Title Deed
*Bei shilingi milioni 300 maongezi kidogo*