Hadithi hii inaelezea jinsi wanafunzi kumi wa Chuo Kikuu cha Old Creek walivyosoma kitabu kilicholaaniwa na kufungwa muhuri, kitabu ambacho kilimzuia pepo wa kale mwenye nguvu aitwaye AZAZEL,Pepo wa Porini, kuachiwa huru kutoka kwenye muhuri wake. Kutokana na ujinga wao, walimwachilia. Mwanzoni, hakukuwa na dalili zozote, hadi miaka kadhaa baadaye.