Nyumba mzuri mnoo, Inauzwa mbagala majimatitu Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room, jiko na store.Store zipo tatu, vyumba vi tatu ni master bedroom.Pia kuna kisma cha maji baridii.
Nyumba ipo umbali wa kilometa mbili kutoka terminal ya mwendo kasi mbagala.Na ipo umbali wa mita 300 kutoka Barabara kuu ya lami(stand)
Bei yake shilingi milioni 160
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu