Ukisikia nyumba inatupwa,basi hii ndio inatupwa haswaaa.
Nyumba hii inauzwa.Nyumba ipo chanika magenge wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba 7, sitting room, flame moja ya biashara na jiko.Ipo vizuri kuekeza kwa ajili ya wapangaji.Haipo mbali na barabara kuu,gari moja tu hadi kariakoo,posta na kadhalika.
Bei yake shilingi milioni 27
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu