Nyumba inauzwa ipo chanika taliani mtaa wa kigezi mwisho wa bajaji,
nyumba inavyumba vi 3 vya kulala kimoja master ina sebule, dining, jiko, public toilet, pia kuna servant coter ya chumba kimoja master na sebule, umeme upo na maji yapo, bei milioni 50 maongezi yapo