NYUMBA INAUZWA – CHANIKA TALIANI, DAR ES SALAAM
Mahali: Chanika Taliani, Dar es Salaam 1 km kutoka barabara kuu ya chanika
Sifa za Nyumba: Ina vyumba 8 (mfumo wa chumba na sebule) Ukubwa wa eneo: Futi 75 × 43 (takribani sqm 300) Haina mgogoro wowote Nyaraka zote muhimu zipo Umeme na maji vinapatikana Eneo linafikika kwa urahisi
Bei: Tsh 50,000,000/=
Mawasiliano: Kwa maelezo zaidi au kupanga kwenda kuiona nyumba, wasiliana kupitia simu au WhatsApp: