Nyumba inauzwa chanika mwisho,ina vyumba vitano vya kulala,sitting room, dining, kitchen public toilet... bedroom tatu ktk ivyo vitano ni self Containing,nyumba mpya ipo ktk mazingira mazuri sana,ina A/C kisima cha maji, kiwanja chake sqm 1200...
Garama ya kwenda kuona service charge fee Tsh 50000/=