Nyumba inauzwa jerani kabisa na uwanja wa taifa (kwa mkapa) Wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Ni nyumba ya nne kitoka uwanja wa mkapa.Ukiacha nyumba inayoangaliana na uwanja,ni nyumba ya nne kuingia ndani.
Nyumba ina vyumba sita.
Bei yake shilingi milioni 450 mazungumzo yapo.Nyumba ina hati miliki.Watu wananunua sana eneo hilo na kujenga magorofa
Kwa mawasiliana zaidi nipigie kwenye namba zangu.