Dar Chang'ombe: 3 Bedrooms Apartment/Ghorofa Inapangishwa
.
• Maduka Mawili
• Haina Samani (unfurnished)
• Wawili kwenye compound
• 3 bedrooms, 3 washrooms, sebule, jiko, chumba cha kufulia, bindo na ubaraza
• Malumalu, viyoyozi (vitawekwa vikihitajika), makabati jikoni na vyumbani, maji moto bafuni (yatawekwa yakihitajika) na luku ya kujitegemea
• Uzio wa umeme, peva, maji ya kisima kirefu, tenki la juu na chini la kuhifadhi maji, maegesho ya gari
• Kodi: TZS milioni 1.8 x 12
• Security deposite: TZS milioni 1.8 (ilipwe mwanzo wa mkataba. Itarejeshwa mwisho wa mkataba kama hakuna uharibifu ndani ya nyumba)
• Kamisheni ya dalali itatozwa
.
• #InRealEstateWeConnect #tanzania