Yard inauzwa mbagala chamazi saku ilulu saku ilulu wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam
Ipo umbali wa kilometer 1 na nusu kutoka barabarani kuu.
Yard ina ukubwa wa hekari moja.Ina kisima cha maji,ina umeme.
Bei yake shilingi milioni 550
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu