Viwanja vinauzwa mbagala chamazi saku ilulu wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam
Viwanja vina ukubwa wa square meter 400.
Viwanja vimepimwa,vina hati miliki.Wadau viwanja vimebaki vichache,wahi viwanja vipo mjini kabisaa,vimezunguukwa na nyumba za kifahari.Hakika si vyumba kukosa.
Bei yake shilingi milioni 22 fixed.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu