Eneo linauzwa mbagala kibonde maji wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Eneo lina ukubwa wa square meter 800.Eneo lipo sehemu mzuri mnoo,linafaa kwa uwekezaji mbali,hasa apartment.
Ukitaka video yake ninayo utarushiwa.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu