Nyumba ya vyumba saba inauzwa mbagala saku mwisho.
Kwenye nyumba kubwa kuna vyumba vi nne, sitting room, dining room, na jiko.
Uwani kuna chumba sebule master,
Halafu kuna chumba master.
Karibu nyumba hii pamoja na nyengine za bei tofauti tofauti
Bei yake shilingi milioni 90
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu