Nyumba inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tano, sitting room, dining room na jiko.
Nyumba ina eneo kubwa sana.unaweza kujenga nyumba nyengine kubwa mbili.Na ipo umbali wa mita 800 kutoka Barabara kuu ya lami
(Stand chamazi magengeni)
Bei yake shilingi milioni 58
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu