Nyumba inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Kwenye nyumba kubwa kuna vyumba vi tatu, sitting room, dining room, store na jiko.uwani kuna chumba sebule choo.
Bei yake shilingi milioni 160
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu