Nyumba inauzwa mbagala chamazi mfenesini wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tano, sitting room, dining room, store,jiko na mabanda ya kufugia kuku.
Bei yake shilingi milioni 95
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.
Ukitaka video yake, nitakutumia