Nyumba yenye kigorofa inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Nyumba ipo jerani kabisa na barabara kuu ya lami,ni nyumba ya tatu tuu.Gari zikipita unaziona.
Kuna nyumba kubwa ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room, store na jiko.
Pia uwani kuna kigorofa chenye vyumba vi wili vyote master bedroom.Ukijumlisha na vyumba vya ndani, Unapata jumla ya vyumba vi 5,ambavyo vyote master bedroom.
Bei yake shilingi milioni 180.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.