Nyumba inauzwa mbagala chamazi saku ilulu wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Kwenye nyumba kubwa kuna vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.
Uwani kuna vyumba vi wili na sebule.Pia ina flame tatu za biashara.
Bei yake shilingi milioni 69
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu