Nyumba mzuri,kubwa na ya kisasa inauzwa mbagala majimatitu Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ipo umbali wa mita 400 kutoka barabara kuu ya lami,na kilometa mbili kutoka mbagala rangi tatu.
Karibu nyumba hii pamoja na nyengine za bei tofauti tofauti.
Bei yake shilingi milioni 160.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba