Nyumba inauzwa mbagala majimatitu Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room, store na jiko.
Karibu nyumba hii pamoja na nyengine za bei tofauti tofauti.
Bei yake shilingi milioni 120
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu