Nyumba inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room, store na jiko
Karibu nyumba hii pamoja na nyengine za bei tofauti tofauti
Bei yake shilingi milioni 110
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu