Nyumba inauzwa mbagala chamazi Saku mwisho wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Nyumba ipo jerani kabisa na stand kuu ya Saku mwisho.
Ina vyumba vi tatu,sitting room,dining room na jiko.
Bei yake shilingi milioni 49
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu