Nyumba inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room, store na jiko.
Pia ina kisima cha maji baridii
Nyumba ina parking mbili, kila upande unaweza kupaki gari ndogo mbili.
Bei yake shilingi milioni 120
Maongezi yapo
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu