Nyumba mzuri sana inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room, store mbili na jiko.
Pia ina parking mbili,yani mageti mawili ya kuingizia gari, kushoto na kulia.Kila upande utaopitia kuna parking ya gari ndogo tatu
Si hayo tu,pia ina kisima cha maji baridii, security fence na kadhalika.
Bei yake shilingi milioni 120
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu