Nyumba inauzwa mbagala chamazi magengeni wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room na jiko.Kuna eneo unaweza kujenga fensi, nyumba ikawa ndani ya fensi na gari ukalaza ndani.
Wadau,hii nyumba inatupwa,ninaposema inatupwa,nina maanisha.Kwanza ipo jerani kabisa na barabara kuu ya lami yani chamazi magengeni.Unatumia dakika nne tu kwa kutembea kwa miguu kutoka stand.
Bei yake shilingi milioni 37
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu