Nyumba inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini
Dar es salaam
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room,jiko na store.
Nyumba ina full Ac, tiles,pevin na electrical fence.
Bei yake shilingi million 110
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.