Nyumba inauzwa mbagala chamazi mfenesini wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room, store na jiko.Pia uwani kuna chumba sebule choo.
Bei yake shilingi milioni 110
Karibu nyumba hii pamoja na nyengine za bei tofauti tofauti
Ukitaka video yake utarushiwa