Lodge inauzwa mbagala chamazi magengeni wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Lodge ina vyumba 20.nyumba vyote master bedroom.ina counter,na store kubwa.Ina kisima cha maji.Vyumba vyote full AC.
Bei yake shilingi milioni 550
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.