Nyumba inauzwa dar chamanzi
ipo: chamanzi
karibu na azam complex
rooms: 5
kuna reading corridor
- umeme na maji vipo
- uani kuna fensi
- nyumba imepangishwa
- wapangaji kuondoka
- ukitaka wapangaji wabakia
- inataka kumalizia rangi
*bei yetu nzuri mil 30 tshs*
- mazungumzo yapo
dar es salaam
ibokiz