Jumba kubwa la kisasa linauzwa mbagala chamazi saku mwisho wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Jumba lina vyumba vi nne, sitting room, dining room na jiko
Ni nyumba ya nne tu kutoka stand ya daladala za saku mbagala.karibuni wote hata wale walengaji mnakaribishwa, maana inalengeka.
Mbele kuna eneo kubwa unaweza kujenga fence
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu